Swift

WAFUATAO Wamehamia CCM leo


WAFUATAO Wamehamia CCM leo

i) Mwenyekiti wa Chadema wilaya ya Rombo  Ndg Athuman Mohammed Kimario.

ii) Mwenyekiti wa Halmashauri ya Rombo Evarist Silayo Mgoyoni.

MADIWANI Waliohamia CCM Leo

i) Simon Peter Marandu, kata ya Mrire,

ii) Justina Maliangu Mkenda, kata Kisale,

iii) Paul Adelaro Ulimalya , kata ya Aleni.

iv) Nicholaus Kimario,  kata ya kitongo

Viongozi hao wamejiunga na  CCM leo hii katika ziara ya Mwenyekiti wa UVCCM Taifa,  Komredi Kheri James inayoendelea Wilayani Rombo.

Sidhani kama kuna haja ya kuongeza sauti

You Might Also Like

0 comments